Psalms 105:8-11


8 aHulikumbuka agano lake milele,
neno ambalo aliamuru, kwa vizazi elfu,

9 bagano alilolifanya na Ibrahimu,
kiapo alichomwapia Isaka.

10 cAlilithibitisha kwa Yakobo kuwa amri,
kwa Israeli liwe agano la milele:

11 d“Nitakupa wewe nchi ya Kanaani
kuwa sehemu utakayoirithi.”

Copyright information for SwhKC